didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Wakuu habarini na milioni moja yangu nataka niiweke yote UTT.Maoni yoyote kabla sijafikia huu uamuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza UTT ndio nini embu tuambie sisi wamakonde hatujui
Kuna hela ndefu nataka niweke huko naogopa YANI.. Kuna siku tutaambiwa t7nakutunzia kama aanavyofanyiwa wastaafuMilioni 1 UTT hapo mwaka mzima unatafuta faida ya laki
Hiyo hela bora ufungue genge la kisasa la mboga mboga hapo mtaani kwako, ndani ya mwaka utapiga faida mara 20 ya hiyo ambayo UTT itakupa
Pia hiyo taasisi usiiamini sana, hata kama ipo chini ya serikali... kumbuka ni serikali ya bongo ndo tunaiongelea hapa
Wakuu habarini na milioni moja yangu nataka niiweke yote UTT.Maoni yoyote kabla sijafikia huu uamuzi
🤣🤣🤣🤣🤣Kuna hela ndefu nataka niweke huko naogopa YANI.. Kuna siku tutaambiwa t7nakutunzia kama aanavyofanyiwa wastaafu
Hela yako alafu siku ukiitaka wanakutungia sheria sijui kikokotoo Mara tunakutinzia🤣🤣🤣🤣🤣