Wakuu heshima mbele,naombeni msaada wa mawazo jamani,nina sh.million 5 nataka nizizungushe kny biashara ambayo haitanisumbua hasa kwenye uendeshaji kwani mimi ni mwajiriwa hivyo muda wangu utakuwa siyo full time kny hiyo biashara,naombeni mchango wenu wa mawazo tafadhali.Mbarikiwe saaaana
Hiyo 5m. ni pesa halali au umemwibia mwajiri wako?