Nina mke mjeuri sana. Naombeni mnishauri

nimesoma heading tu nasema
MPANDISHE CHEO AWE MKE MKUBWA
 
Ukiwa unapiga machine vizuri huwa anakuwa kama mwanafunzi shule seminar.

Kuna haja ya kueleza kwa kina?
Mkuu jibu lako lipo hapa,ukiwa unamridhisha kitandani hata tabia njema atajifunza mwenyewe...kiufupi mwanamke ana MASIKIO matatu,achana na haya mawili ya kwenye kichwa lipo lingne lipo katikat ya mapaja yake ukilizibua vzuri huwa wasikivu mno!...Sie wenzenu tunaamkiwa shikamoo baba flani na magoti juu maana sikio latatu tumelizbua vzuri!
 
wakuu nimefuatilia maoni yenu kwa ukaribu zaidi,,,niseme tu ahsante kwa kuonesha kujali,,ngoja niunganishe baadhi ya mawazo niliyoyaona yanafaa halafu nitengeneze msimamo wangu,,, nitarudi kuwapa mrejesho kitakachotokea
 
wakuu nimefuatilia maoni yenu kwa ukaribu zaidi,,,niseme tu ahsante kwa kuonesha kujali,,ngoja niunganishe baadhi ya mawazo niliyoyaona yanafaa halafu nitengeneze msimamo wangu,,, nitarudi kuwapa mrejesho kitakachotokea
Nimekuuliza ni kabila gani hujajibu
 
wakuu nimefuatilia maoni yenu kwa ukaribu zaidi,,,niseme tu ahsante kwa kuonesha kujali,,ngoja niunganishe baadhi ya mawazo niliyoyaona yanafaa halafu nitengeneze msimamo wangu,,, nitarudi kuwapa mrejesho kitakachotokea
Mkuu kwenye uchambuzi wako chukua na hii

Kuoa mke maana yake ni kuchukua majukum ya baba na kupewa wewe(mume)

Kwaiyo una jukumu la baba kwa mtoto, unatakiwa utumie kila njia kuhakikisha unamlea huyo mke katika malezi bora na awe na tabia njema

Pale waliposhindwa wazazi wake wewe unatakiwa uparekebishe cha muhimu tumia busara katika kila jambo usikimbilie kuacha maana unaweza ukaruka mkojo ukakanyaga m,,,,,vi

Pole kwa changamoto ndio ukubwa huo
 
Hongera,mmedumu mda gani
 
Mwache, oa mwingine...Wanawake wapo wengi
 
Ishi nae kwa akili bro...jaribu kukaa nae muongee kiutu uzima muulize shida ni nini.

Halafu punguza mfumo dume, unaonekana ni mkali sana kwa mkeo.
Kwahiyo Jamaa akiwa Mkali ndio iwe kibali cha Mke kuwa na Kiburi? Wazee wetu karibu wote au 98% walikuwa wakali kwa wake zao...lakini wake zao (Bibi zetu) walikuwa na Unyenyekevu na Utii

Wanawake wa sasa Kutii wanaona ni Utumwa
 
1.Unatongoza mwanamke ukiongozwa na mihemko kisha unamuoa.

2. Huna wazee wa kukushauri kuhusu familia unategemea upost Jamii forum.

3. Mwanamke anatoka ukoo usiojali, hakuna wazee ambao wanaogopeka,wasimamizi wa ukoo kwamba akileta jeuri kwa mumewe akarudi kwao kuna wazee na mashangazi wa kumuhoji kwanini analeta aibu.

4. Baada ya Muda unakuja na mada kataa ndoa ndoa ni utapeli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…