Nina mpango wa kusoma PhD nje ya nchi

Nina mpango wa kusoma PhD nje ya nchi

stephenga

Member
Joined
Sep 15, 2022
Posts
72
Reaction score
173
Guys nina plan ya kusoma PhD nje ya nchi lakini nikitegemea zaidi nipate udhamini.

Ningependelea kusoma nchi za ulaya au America kutokana na quality ya elimu yao pamoja na fursa, haswa Nordic countries.

Najua umu kuna watu wanaelewa vizuri wengine wana practical experience namna ya kupata opportunity za PhD nje.

Ningeomba mnisaidie mawazo na kunipa knowledge.
1. Vyuo vipi ni rahisi kupata kwa tunaotokea nchi kama Tanzania.
2. Namna gani naweza kupata financial support.
3. Njia nzuri za kufikisha maombi ya PhD (nimesikia kuna baadhi ya nchi hawatangazi kuna njia tofauti za kuomba)
4. Documents gani muhimu nje ya vyeti zinazohitajika sehemu nyingi.
5. Information yoyote itayonisaida kufanikisha adhma yangu.

Nategemea kusoma PhD ya Early Childhood Education specialising kwenye children with disabilities, communication disorder to be specific.

Najua jukwaa lina watu wema na wenye kupenda kuona kila mtu ananyanyuka.

Nawakaribisha sana kwa michango.
Shukrani!

stephenbinmat@gmail.com
 
Malibu yako yote yapo hapa:
 
Njia rahisi ni kusearch nchi na list ya vyuo husika kulingana na PhD program unayotaka kusoma. PhD kwa wenzetu wa namna mbili za admission
1. Through salaried positions
Kwenye hii hizo positions zinatangazwq a moja kwa moja kwenye website ya Chuo through department husika or in general with respect to research topic. Hii ukipata utaajiriwa na kua part of the academic staff as an Early Stage Researcher, utalipwa mshahara na kupata stahiki kama mwajiiriwa,..ambapo utasoma lakini pia utasaidia kufundisha Master's and undergraduate students and other related department roles. It's highly competitive and remember that it is worldwide advertised so lazima ujipange haswa kwenye issue ya
  • Motivation Letter/ Application Letter/ Personal statement
  • Research Concept Note/ proposal according to the advertised PhD position
  • Curriculum Vitae (CV)
  • English Language Proficiency Certificate (Nchi nyingi duniani zinataka hii japo kuna nchi zingine kama ulisoma previous degrees in English as a medium of instruction
hawana shida)
2. Self funded positions
Hii unaomba admission moja kwa moja kwenye chuo husika na kila kitu utajilipia wewe ama kupitia mfadhili wa nje (As for you unataka scholarship hii haikufai)
In general hizo ndio njia mbili kuu za kupata admission kwenye vyuo vikubwa duniani huko
Namna ya kupata hizo information?!
1. Website za vyuo husika kulingana na PhD program unayotaka kusoma
Hapa utatakiwa kufanya survey kidogo ya nchi na vyuo bora vinavyotoa hiyo PhD program unayotaka kusoma
2. Google search; you can use this hint:
-Best Engineering Universities in USA for PhD studies (hapo kwenye engineering weka program yako)
- PhD positions/ jobs/ scholarship in USA for .... Engineering (hapo kwenye engineering weka program yako)
Hii ya pili inaweza kukusaidia kujua vyuo bora even by ranking if you prefer na ukaitumia kwenda kwenye website ya Chuo husika directly
Naprefer hiyo ya kwanza kwasababu ni ya uhakika na inanipeleka direct kwenye official website ya Chuo ambako nitapata info zote kulingana na nachokitafuta. Lakini pia hua inanipa uhuru na nafasi ya kufanya direct communication na supervisors wa hizo research projects, admission officers na hata department personals
3. Scholarship links
Unaweza tumia hii kwa kufanya subscription tu kwenye scholarship links mbalimbali wakawa wanakutumia hizo positions kwenye email yako
Anyways nimeshare uzoefu wangu kidogo kwenye hizo issues za PhD Scholarships, wengine watakuja na details zaidi naamini utapata msaada sahihi kabsa, nimeona pia Maneja wa Makampuni katia ubani kidogo kwenye jambo lako, so good luck champ.
 
Njia rahisi ni kusearch nchi na list ya vyuo husika kulingana na PhD program unayotaka kusoma. PhD kwa wenzetu wa namna mbili za admission
1. Through salaried positions
Kwenye hii hizo positions zinatangazwq a moja kwa moja kwenye website ya Chuo through department husika or in general with respect to research topic. Hii ukipata utaajiriwa na kua part of the academic staff as an Early Stage Researcher, utalipwa mshahara na kupata stahiki kama mwajiiriwa,..ambapo utasoma lakini pia utasaidia kufundisha Master's and undergraduate students and other related department roles. It's highly competitive and remember that it is worldwide advertised so lazima ujipange haswa kwenye issue ya
  • Motivation Letter/ Application Letter/ Personal statement
  • Research Concept Note/ proposal according to the advertised PhD position
  • Curriculum Vitae (CV)
  • English Language Proficiency Certificate (Nchi nyingi duniani zinataka hii japo kuna nchi zingine kama ulisoma previous degrees in English as a medium of instruction
hawana shida)
2. Self funded positions
Hii unaomba admission moja kwa moja kwenye chuo husika na kila kitu utajilipia wewe ama kupitia mfadhili wa nje (As for you unataka scholarship hii haikufai)
In general hizo ndio njia mbili kuu za kupata admission kwenye vyuo vikubwa duniani huko
Namna ya kupata hizo information?!
1. Website za vyuo husika kulingana na PhD program unayotaka kusoma
Hapa utatakiwa kufanya survey kidogo ya nchi na vyuo bora vinavyotoa hiyo PhD program unayotaka kusoma
2. Google search; you can use this hint:
-Best Engineering Universities in USA for PhD studies (hapo kwenye engineering weka program yako)
- PhD positions/ jobs/ scholarship in USA for .... Engineering (hapo kwenye engineering weka program yako)
Hii ya pili inaweza kukusaidia kujua vyuo bora even by ranking if you prefer na ukaitumia kwenda kwenye website ya Chuo husika directly
Naprefer hiyo ya kwanza kwasababu ni ya uhakika na inanipeleka direct kwenye official website ya Chuo ambako nitapata info zote kulingana na nachokitafuta. Lakini pia hua inanipa uhuru na nafasi ya kufanya direct communication na supervisors wa hizo research projects, admission officers na hata department personals
3. Scholarship links
Unaweza tumia hii kwa kufanya subscription tu kwenye scholarship links mbalimbali wakawa wanakutumia hizo positions kwenye email yako
Anyways nimeshare uzoefu wangu kidogo kwenye hizo issues za PhD Scholarships, wengine watakuja na details zaidi naamini utapata msaada sahihi kabsa, nimeona pia Maneja wa Makampuni katia ubani kidogo kwenye jambo lako, so good luck champ.
well and good!
 
Back
Top Bottom