Nina Mpenzi wangu Dah!!!

kama ni hivyo sio mbaya na wewe ukimuomba hiyo kitu akikubali na wewe ukanogewa endeleza tu kwa kuwa ulikuwa ukimnyima raha mtoto wa watu na akikukatalia angalia ni kataa ya aina gani kama sio mchezo wake hata makofi utayapata siku hiyo ila akikataa kwa kubana pua ujue wazi anaogopa talaka na sie kina Paka Mweusi tunakusaidia.akili kichwani baba kumwacha au kutomwacha ni uamuzi wako.
 
Nyamayao said:
anaume bwana na nyie mnakuwaga wambea sana, sasa haya mambo ya kuja kumuelezea mtu hadharani ni nini wakati mlipeana gizani, wanaume wengine wa kuvalishwa sketi kabisa.

Hapo ndipo nakupendea Nyamayao

Kwani the finest ndiyo nyamayao? Bado nipo nipo kwanza, nitarudi tu!
 
Nitajiridhisha kwa kupretend kama nataka huko; tiGO...! Then, mara nigunduapo kuwa ni kweli basi nitakuwa na "peace of mind" to run away very immediate....! Otherwise, that might be a prove that they're enemies....!

sasa hapo mi sioni kitakachokufanya urun away, kwani kuna nini cha ajabu!binti kutoa tigo ndo kitu cha kushangaza!anway,vipi kwa wale ndugu zangu wanaopenda hiyo kitu,nao watarun away au ndo wataona ''kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi''
 
abomination!!!
 
sasa hapo mi sioni kitakachokufanya urun away, kwani kuna nini cha ajabu!binti kutoa tigo ndo kitu cha kushangaza!anway,vipi kwa wale ndugu zangu wanaopenda hiyo kitu,nao watarun away au ndo wataona ''kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi''

Basi ijulikane kuwa soko lake sio mimi, na ni hao....!


:A S thumbs_up:
:A S thumbs_up:
 
Kabla sijamwacha nahakikisha kama kweli anatoa tiGo...
 
na wewe mtoa hoja, kwa nini uingie na dem wako mkakaa pande tofauti?
Mnatoa ujumbe gani kwa hadhira au bado mnaogopa kuonwa na wapenzi wa zamani?
raha ya mapenzi ya kuibana watu wasiwajue, wakijua hayawi matamu.
 
wanaume bwana na nyie mnakuwaga wambea sana, sasa haya mambo ya kuja kumuelezea mtu hadharani ni nini wakati mlipeana gizani, wanaume wengine wa kuvalishwa sketi kabisa.



Hahahahaha aaaa umesema kweli kabisa😛ainkiller:
 
Wachna na habari za kusikia weye..................vipi hiyo stori ingekuwa ni mama ama dada yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…