Kwa Mda Mrefu Nilikua Na Ndoto Ya Kufanya Biashara Ya Dagaa Wa Kavu Kutoka Mafya Kuja Dar.Zoezi Langu Lilishindikana Sababu Ya Mtaji,kwa Sasa Nimesaidiwa Tsh Laki Tano Ili Niweze Kufanya Biasha.Bado Pesa Hzo Nataka Kuzielekeza Ktk Biashara Hyo.Naomba Ushauri Kwa Wataalamu Juu Ya Biashara Hii.