Siondoki soon naanza kujiestablish kwanza then baadae nitasepaSasa unaacha kazi kwa ajili ya boss daah. Think twice Mkuu. Acha kwakua una ndoto zako ila sio kwa ajili ya boss mzushi. Serikali haina boss permanent huyo anytime anahamishwa or anaondoka so komaa mkuu.
Biashara unaweza kufanya na bado ukabaki kazini tafuta watu sahihi tu kwa sababu hata ukiamua kuacha kazi bado utahitaji kuajiri watu ufanye nao hiyo kazi yako. sasa kwa nini usiwajiri then ukaendelea kubaki serikalini huku ukisoma upepo wa biashara yako.
Ni ushauri tu
Hahaha ntaitafuna tu bora niiwekeze kwenye fan yangu lolHuko ulikoipata hiyo 5 endelea nako mpaka ifike 100, ndiyo uje hapa kutaka ushauri.
Thanks ngoja nikigoogleKabla hujaanza tafuta kitabu cha "stars shine down" chq sydney sheldon, utajifunza mengi...
Nimejaribu sana naona jamaa ananifanya niichukie kazi yangupambana na huyo bosi wako wewe mpaka kieleweke
Njoo tu mkuu...hello naomba nku DM kwa more information please....
anza biashara mdogo mdogo wakati uko kazini..ukiona inaenda poa ndio uache halaf haya mambo ya kujifanya mchapa kazi achana nayo we nenda job kutimiza tu siku labda huyo bosi anakuona unatishia cheo chake anakupotezea...hayo ni nambo ya kawaida makaziniNimejaribu sana naona jamaa ananifanya niichukie kazi yangu
Wakati nafanya kazi nikicreate cv yangu
We mtu anakukabidhi jukumu akiona umeperform kupita malengo,juu kwa juu anampa mwingine
Sasa si bora nisepe tu
Nguvu nazotumia govt wacha nizitumie kujinufaisha binafsi kabla sijachoka
biashara ya kuuza chakula kilichopikwa inalipa sanaKwangu mimi biashara ya mazao ni bora zaidi hasa mchele na maharage, unatafuta soko kwanza unaenda huko kwa wakulima unanunua mazao yako unapeleka sokoni baada ya mwaka utakuwa mbali sana.
Kuna biashara ya kusambaza bidhaa madukani hasa maduka yaliyo pembeni ya mjini, hapa unaweza kutafuta kijana akawa anakusaidia kusambaza bidhaa zako madukani kwa kutumia pikipiki.
Azisha ufugaji wa kuku wa kienyeji.
Kwa pesa hiyo unaweza anzisha mgahawa mzuri, ukatafuta wapishi wazuri na ukazingatia usafi huku chakula chako ukiuza kwa bei ndogo.
Kwa hela hiyo unaweza fanya biashara ya mitumba ya jumla, unafuata mzigo Kenya (wanachukua nguo zao Korea miili yetu na yao inaendana) ukawa unawauzia wale wanaouza kwa reja reja.
Kwa pesa hiyo unaweza kutafuta eneo lenye rutuba nzuri na mvua za kutosha ukaiwekeza kwenye kilimo hutajutia.
Kuna biashara ya mifugo mfano mbuzi na ng'ombe unanunua eneo moja unaenda kuuza eneo jingine mfano toka huko usukumani unaleta Dar au Dodoma
Are you there.
And thas my dreamanza biashara mdogo mdogo wakati uko kazini..ukiona inaenda poa ndio uache halaf haya mambo ya kujifanya mchapa kazi achana nayo we nenda job kutimiza tu siku labda huyo bosi anakuona unatishia cheo chake anakupotezea...hayo ni nambo ya kawaida makazini
Nenda Simanjiro kuna machimbo ya madini ya Rubby. Kuna jamaa alinunua ya 5M akauza 100M ndani ya nusu saa within the Area!kila lenye khairat liwe upande wako.
Latoya boss anataka mchezo huyo, we mpe tu ataacha kukubana bana..just kidding!Thanks man nimekuwa na hii ndoto since nasoma chuo, niliwaza nigrafuate niajiriwe govt then after some years niwe somebody in this country ili niibadil industry niliyomo
But naona kadri siku zinavyoenda naumia,am not happy at all,nina kazi,usafiri,makazi but I always feel the gap inside
Nimekuwa nalia mara kibao mwenyewe and ask my God kwann ukaniweka hapa ?kwa watu hawa?nilikosea wapi?
Mwishoni nilimkumbuka mwalimu wangu wa entrepreneurship ingawa haikuwa core subject aliwahi sema usichukulie problems kama obstacle hali oportunities
Nimeamua na nitafanya,inshallah nitarudi toa mrejesho humu,may be niliwekwa kwenye situation hii ili niact na niwanyanyue na wengine
Nisiongee sana but nimeamua and am going to do it
May be its about time.
Kabla hujaanza tafuta kitabu cha "stars shine down" chq sydney sheldon, utajifunza mengi...
Kuna ambao hawajaifahamu forex au ambao wameisikia ila bado hawaamini ni njia halali ya kujipatia fedha.
Watanzania wengi hawaifahamu tofauti na wenzetu walioko Nigeria na Southafrica. Wabongo wanaoijua hufaidika kwa siri bila kuwashirikisha ndugu, jamaa na marafiki. Tusiwe wachoyo wa kuonyeshana fursa.
Muda unaopoteza whatsapp, facebook na instagram ungeutumia kujiingizia kipato, ni biashara hali inayofanywa na mabenki yote Duniani na sasa individuals kama wewe wanaweza kushiriki kupitia Broker. Mwisho wa mwaka utapeleka faida gaio la faida yako TRA.
Kwenye simu yako nenda google store download app inaitwa meta-trader 4 (sio 5). Pia unahitaji kua na laptop ingawa si lazima kwa hatua ya mwanzo. Ili kusaidia wasioifahamu tutatoa mafunzo ya mwanzo introduction to forex bure.
(1) Kuelimisha kuhusu forex.
(2) Kuwawezesha kutumia forex
(3) Kufaidika na forex
Kwa wale wazoefu wa forex; tunatoa msaada wa strategy ambayo ni price action and quarter theory for analysis
We are using price action and quarter theory for analysis in the larger time frame and the BTMM method for a good time and position to enter trades (sniper entries).
You will need three templates on your laptop.
1) BTMM template,
2) Quarter theory lines drawn manually or by indicator
3) Price action support and resistance lines drawn on each pair.
*Install TDI indicator on your phone
Bonyeza link kujoin Telegram Channel na Group (Download Telegram kutoka google app. Whatsapp haifai inalimit ya member, Telegram haijai/no limit)
Signature Traders (BTMM)
Signature Traders Tz (BTMM)
Asanteni