Nina mtaji mil 5 nifanye biashara gani?

We nawe nyumba si hata chumba na sebule ni nyumba au?kagari kenyewe vits, ishu nikupata wala la biashara ya kunikeep busy nisipoteze ndoto yangu
Na kujiongezea kipato ilhal bado kijana
 
Nadhani wengi hawajanielewa,sina lengo la kuacha kazi instantly
Nataka nianze biashara mdogomdogo nikijipanga kuacha mbelen
Pia itanipa fursa ya kuwa busy na biashara yangu,nitadodge kwenda ofisini daily
 
Forex tena hahahah am sorry
 
ha ha ha mbona umeshtuka forex
Si nasoma kila leo watu walivyolizwa humu halafu nami niingie kama nyumbu lol
Isitoshe sijasomea maswala ya finance
Mie nimesoma real estate
Kwann nifanye kitu sina hata ujuzi ama ufahamu nacho?
 
Njoo Ukuze Mtaji Kusini,, Ikifika mwenzi wa 9 kuanzia tarehe 20 njoo Ununue Korosho upate faida ya kuongeza mtaji wako,,

Mfano : unanunua korosho kg 1 @2500 Kwa wakulima then ukishapeleka kwenye mnada bei wastan wake Ni 3500 hadi 4000!!

Kwahiyo Kwa Million 5 utapata kg 2000, ukitoka mnada wastan wa bei 3500 utapata million 7 cash,,, ikitoka bei 4000, Basi una million 8 cash!!! Malipo yako Ni ndani ya week 3 tu wastan!!! Hili zao linasimamiwa Na Serikali, changamoto zipo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…