TURUFUDUME
Member
- Dec 14, 2014
- 70
- 39
Mimi ni kija wa kiume, nipo Dareslam Msasani nimepewa mtaji wa milioni 5 ni familia niizungushe kwa masharti niwe natoa laki moja kila mwezi kwa ajili ya kuwasaidia wazee wawili ilikuwasaidia, huwo mtaji itakuwa wa kwangu.
Je ni biashara gani ambayo naweza kuifanya ya milion tano mtaji ukakuwa nå kuweza kutoa laki kila mwisho wa mwezi bila ya kuathiri mtaji wangu? Natanguliza shukrani.
Mawazo yenu ni muhimu sana kwangu
Je ni biashara gani ambayo naweza kuifanya ya milion tano mtaji ukakuwa nå kuweza kutoa laki kila mwisho wa mwezi bila ya kuathiri mtaji wangu? Natanguliza shukrani.
Mawazo yenu ni muhimu sana kwangu