Godbless mtega
Member
- Sep 15, 2018
- 41
- 24
Utachelewa sanaKaanzishe kilimo cha mikororosho Mil 25. nyingine weka fixed deposit. Magari yatakuletea umaskini., gari zinafaa kwa mtu ambaye ana magari mengi
Tires? [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Chukua fuso double dif tani 10 .maintenance yake ni rahisi na inabeba mzigo wa kutosha
Jipya ongezea hapo kama 20m mkuu. Utpata kitu new. Tena mayai kabisamkuu nilikua nahitaji gari jipya kabisa
Nina biashara zangu za viazi miti na mahindi nahitaji gari lakunisaidia katika kaz hizoKaanzishe kilimo cha mikororosho Mil 25. nyingine weka fixed deposit. Magari yatakuletea umaskini., gari zinafaa kwa mtu ambaye ana magari mengi
Chukua fuso double dif tani 10 .maintenance yake ni rahisi na inabeba mzigo wa kutosha
OK Mkuu; kila la kheri katika hitaji lako.hili nadhani haalitanifaa kwasababu linachukua mzgo mdogo
ahitaji mpya na nikwann fuso sio tandam au canter
Yeye kataka gari ya mizigo na sio business partnership..Mkuu una ml 45 zinatosha tafuta fiat yenye uwezo wa kubeba mzigo wa tan 15 ambpo anzia na moja njoo dar es salaam nikuonyeshe biashara yakufanya nina hardware ningepata mtu kama wewe mwenye huo mtj wa ml 45 tungefanya kazi ya cement kuwa agent hyo ella yako inarudi kwa mwaka kama hyo hyo..so nitafute tunawez tukashaurina kitu fiat leyland bei zake ni ml 9 ml 10 na matengnezo kidgo..kuhusu hlo ckupatie tabu..ni uwakika kazi ya cement nishafanya
Hiii mindset ndio inafanya wabongo wanachelewa kutoka, ukweli ni kwamba kùfanya kitu kikubwa na cha maana lazima ushirikiane na watu. Huwezi kufika mbali kwa kufanya kila kitu mwenyewe.Yeye kataka gari ya mizigo na sio business partnership..
Hua siamini katika business partnership, either uwe partnership na mkeo, mmeo, baba au mama..baaaas!.
HaswaaHiii mindset ndio inafanya wabongo wanachelewa kutoka, ukweli ni kwamba kùfanya kitu kikubwa na cha maana lazima ushirikiane na watu. Huwezi kufika mbali kwa kufanya kila kitu mwenyewe.
Hapo umenena. Ni mambo ya uthubutuHiii mindset ndio inafanya wabongo wanachelewa kutoka, ukweli ni kwamba kùfanya kitu kikubwa na cha maana lazima ushirikiane na watu. Huwezi kufika mbali kwa kufanya kila kitu mwenyewe.
Kuna nyuzi konki sana za nyuma humu zimeongelea sana hiyo biashara ya magari. Tulia uzitafute naamini utaambulia kitu.Wana JamiiForums samahanini kwa usumbufu, Nina mtaji wa million 70 nahitaji kununua gari ya mizigo ili iweze nipigia dili nyingi na nipate nakurudisha fedha yangu kwa haraka.
Ushauliwenu naomba mnishauri aina gan ya gari inadumu sana na ni nzuri kwa biashara za mizigo kati ya fuso canter na scania na ni kwanini?.
Niko njombe
Mkuu una ml 45 zinatosha tafuta fiat yenye uwezo wa kubeba mzigo wa tan 15 ambpo anzia na moja njoo dar es salaam nikuonyeshe biashara yakufanya nina hardware ningepata mtu kama wewe mwenye huo mtj wa ml 45 tungefanya kazi ya cement kuwa agent hyo ella yako inarudi kwa mwaka kama hyo hyo..so nitafute tunawez tukashaurina kitu fiat leyland bei zake ni ml 9 ml 10 na matengnezo kidgo..kuhusu hlo ckupatie tabu..ni uwakika kazi ya cement nishafanya