Nina mtaji wa Tsh milioni 5-10. Hapa Mbeya Mjini naweza kufanya mradi/biashara gani yenye profit margin nzuri?

Nina mtaji wa Tsh milioni 5-10. Hapa Mbeya Mjini naweza kufanya mradi/biashara gani yenye profit margin nzuri?

Halo ka.mkoa cjui cjui Kuna nn pea hakuna mzunguko wa maana
 
...

20211221_232843.png
 
Nakushauri ufungue sehemu ya kisasa ya kuchezesha play station, wadau wapo wengi lakini huduma hii ipo sehemu chache na vifaa ni vya kiwango cha chini.
 
sema mvua imezingua.ingekuwa kipindi cha nyuma mwezi Feb wanavuna maharage.ungeyanunua hayo ukayasogeza mbele kidogo ungepata margin ya 40%.

Otherwise mzunguko wa hela Mbeya mjini ni wa hovyo sana.uko likely kupoteza mtaji wako.Labda uende Kyela, Mbarali au Tunduma ukaangalie fursa huko
Kyela na pale boda ya kasumulu ivi pana biashara gani hasa zinazolipa pale
 
Unaweza anzisha kampuni ya uzalishaji wa kuku wa nyama na mayai pia biashara ya kuuza vifaranga return nzuri baada ya miezi 5 or less wateja ni wengi huduma zilizopo ni poor
 
sema mvua imezingua.ingekuwa kipindi cha nyuma mwezi Feb wanavuna maharage.ungeyanunua hayo ukayasogeza mbele kidogo ungepata margin ya 40%.

Otherwise mzunguko wa hela Mbeya mjini ni wa hovyo sana.uko likely kupoteza mtaji wako.Labda uende Kyela, Mbarali au Tunduma ukaangalie fursa huko
Kama unazijua fursa pande zile tafadhali kama hutojali weka hapa ili na wengine tuangalie chakufanya mkuu natanguliza shukurani
 
Back
Top Bottom