Mimi ninaishi jijini Mwanza na nina pesa yangu binafsi cash Mil 5....., Nafikiria kuanzisha biashara na najua humu kuna wazoefu wakutosha wa biashara....,Naombeni mawazo yenu wana JF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.