Nina mwaka 3 sijajiona kwenye kioo na sijui nikoje kwa sasa

Nina mwaka 3 sijajiona kwenye kioo na sijui nikoje kwa sasa

IKIRIRI

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2018
Posts
2,734
Reaction score
3,023
Nilihamua iwe hivo lengo langu ifike miaka5.
Ikiisha nataka kujaribu kukaa mwaka1 bila kuoga.
NB:hata sisi weusi tunaweza kuvunja record.
 
Nilihamua iwe hivo lengo langu ifike miaka5.
Ikiisha nataka kujaribu kukaa mwaka1 bila kuoga.
NB:hata sisi weusi tunaweza kuvunja record.
Kwa hiyo unadhani sura yako itakua imebadilika kiasi hata Hujui inafananaje??
 
Kazi yangu uvuvi kioo cha nini..
 
Mkuu hujajaza hata fomu ya serikali yoyote ukaweka passport size? Miaka mitatu hujarenew leseni ya udereva (au wewe ni kati ya wale wanajf wachache wasio na gari)
 
Nilihamua iwe hivo lengo langu ifike miaka5.
Ikiisha nataka kujaribu kukaa mwaka1 bila kuoga.
NB:hata sisi weusi tunaweza kuvunja record.
Hujajiona kwenye kioo? Nadhani wewe utakuwa Msukule tu!
 
Wewe mwanamke usipooga wiki tu ni balaa. Je mwaka..... kabila gani wewe ? Kama ni mtani sikushangai ila mumeo anayo kazi
 
Kwani uko Darasa la ngapi, maana we mtundu kweli mpaka umeweza kujiunga na Jamiiforums!!!!
 
Mkuu hujajaza hata fomu ya serikali yoyote ukaweka passport size? Miaka mitatu hujarenew leseni ya udereva (au wewe ni kati ya wale wanajf wachache wasio na gari)
Mi mvuvi leseni ya nn
 
Wewe mwanamke usipooga wiki tu ni balaa. Je mwaka..... kabila gani wewe ? Kama ni mtani sikushangai ila mumeo anayo kazi
Mi mwanaume na mtoto1 wa ndoa 8 nje ya ndoa
 
Back
Top Bottom