Nina ndoto ya kuwa Rais, eleza shida zako mapema

Fene

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
2,824
Reaction score
4,447
Waungwana mabib na mabwana,

Pisi kali, mabishoo, wakulima, wafugaj, wanamugambo, wajasiriamali, wastaarab, wakorofi nyoooote kwa pamoja elezeen shida zenu hapa.

Rais ajae anaskliza mojamoja na yote anaahid kuyafanyia kazi. Ni mm hap mweny ndot kubwa, rais nijae

WASIFU WANGU
Elimu: Darasa la saba (sio sabab ya kutokuwa rais)
Kaz: muimba singeli mstaarabu

Nawasilisha

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kumbe una ndoto tu; ungekuwa unajiandaa kuwa Rais, hapo sawa!??? Zisijekuwa kama zile ahadi za Profesa J za ^Mlininukuu vibaya!^
 
Badili mwandiko kwanza, Andika kama mtu unaehitaji kuongoza watu. Sio unaandika kihuni
 
Dah🙄🙄🙄🤣🤣🤣🤭🤭
 
Hahja!picha imenichekeshaa!
 
Labda uwe rais wa mashogazako

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hizi ID zenu bila ya kujiridhisha kuwa siyo zile za KIMKAKATI za waumini wa mwenda kulima:



Kwa hakika zinatupa kajiukakasi.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Rais ajae, kwanini bado unakaa kwa shemeji yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…