Je eneo hilo lako unaweza kuchimba kisima? Kama liko tambalale na unaweza kuchimba kisima,fanya yafuatayo. Fuga kuku wachache wakupe mbolea, kisha anzisha kilimo cha mchicha kitalaamu. Mkuu kama utalima mchicha vizuri na maji unayo na vikuku viwili vitatu vya kutoa mbolea na kitoweo nakuhakikishia utapiga bao zuri.