Wakuu mimi nina nyaraka flani ya ardhi, origino imepotea bali nimebaki na kivuli. Je nifanyeje hiki kivuli kikubalike mahakamani? Naomba msaada kwa wanaojua.
Wakuu mimi nina nyaraka flani ya ardhi, origino imepotea bali nimebaki na kivuli. Je nifanyeje hiki kivuli kikubalike mahakamani? Naomba msaada kwa wanaojua.