Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,596
- 2,226
...usihofu kijana,tunae role model wetu nape,hivi sasa ana masters. fuata nyayo zake utafanikiwa tu,nenda kachukue form ujiunge...
Nina point 28 nataka kujiuna na lab technology mnsaidieni wakuu
Nataka D.I.T nitafurukuta kweli?
Nataka D.I.T nitafurukuta kweli?