Nina sh. Milion 6....nianze biashara gani?

Nina sh. Milion 6....nianze biashara gani?

nina-kithembe

Member
Joined
Sep 14, 2013
Posts
63
Reaction score
14
Kijana mwenzenu nimepewa hela na kaka yangu kama mtaji wa kuanzia biashara yeyote. Nina digree ya uhasibu. Akili yamgu yote nilikua nimeweka kwenye kuajiliwa tu.Nimetafuta kazi weeee...nimechoka. Sasa sitaki tena kuapply kazi..nataka nifanye biashara. Mawazo yenu ni muhimu sana ili pesa hii isipotee. Sijui naanza na biashara gani kwa hela hizi. Nataman zizae na biashara ieleweke. Sitak kabisa badae blaza aanze kuchonga....siunaona..yule mzembe sana...hajiwez kwa lolote..nimepoteza pesa zangu...
 
Kijana mwenzenu nimepewa hela na kaka yangu kama mtaji wa kuanzia biashara yeyote. Nina digree ya uhasibu. Akili yamgu yote nilikua nimeweka kwenye kuajiliwa tu.Nimetafuta kazi weeee...nimechoka. Sasa sitaki tena kuapply kazi..nataka nifanye biashara. Mawazo yenu ni muhimu sana ili pesa hii isipotee. Sijui naanza na biashara gani kwa hela hizi. Nataman zizae na biashara ieleweke. Sitak kabisa badae blaza aanze kuchonga....siunaona..yule mzembe sana...hajiwez kwa lolote..nimepoteza pesa zangu...

Nenda jukwaa la ujasiriamali kila kitu kimejibiwa kwa swali la namna hii,pia m-consult Malila ana angalizo zuri sana nyie mnaosema mna mtaji mfanye biashara gani.
 
Kijana mwenzenu nimepewa hela na kaka yangu kama mtaji wa kuanzia biashara yeyote. Nina digree ya uhasibu. Akili yamgu yote nilikua nimeweka kwenye kuajiliwa tu.Nimetafuta kazi weeee...nimechoka. Sasa sitaki tena kuapply
kazi..nataka nifanye biashara. Mawazo yenu ni
muhimu sana ili pesa hii isipotee. Sijui naanza na biashara gani kwa hela hizi. Nataman zizae na biashara ieleweke. Sitak kabisa badae blaza aanze kuchonga....siunaona..yule mzembe sana...hajiwez kwa lolote..nimepoteza pesa zangu...


Tsh.6, 000, 000 mbona ndogo sana! Ulipe kodi ya pango, ununue vitendea kazi na bado ubakiwe na hela ya kununulia bidhaaa!
Labda uanze na genge la kisasa katika eneo lililo changamka lenye watu wengi; uuze matunda mbalimbali, viungo vya mboga na mboga za
majani. Siyo mbaya unaweza kutokea hapo.
 
Tsh.6, 000, 000 mbona ndogo sana! Ulipe kodi ya pango, ununue vitendea kazi na bado ubakiwe na hela ya kununulia bidhaaa!
Labda uanze na genge la kisasa katika eneo lililo changamka lenye watu wengi; uuze matunda mbalimbali, viungo vya mboga na mboga za
majani. Siyo mbaya unaweza kutokea hapo.

muongezee coz inaonekana una nyingi zaid. Eti genge kwa mil sita? Mtindio nouma sana aisee.
 
Kijana mwenzenu nimepewa hela na kaka yangu kama mtaji wa kuanzia biashara yeyote. Nina digree ya uhasibu. Akili yamgu yote nilikua nimeweka kwenye kuajiliwa tu.Nimetafuta kazi weeee...nimechoka. Sasa sitaki tena kuapply kazi..nataka nifanye biashara. Mawazo yenu ni muhimu sana ili pesa hii isipotee. Sijui naanza na biashara gani kwa hela hizi. Nataman zizae na biashara ieleweke. Sitak kabisa badae blaza aanze kuchonga....siunaona..yule mzembe sana...hajiwez kwa lolote..nimepoteza pesa zangu...

Ila wewe jamaa nadhani unacheza na akili za watu. Umeoa wakati huna kazi maana mkeo alikuwa anakuzingua mpaka ukaamua kuwa malaya na kurudi usiku wa manane home?

Yote kwa yote sumu ya biashara ni starehe, starehe ujue ni nyumba ya umaskini.
 
Nunua boda boda 2 anzisha na kibanda kidogo cha kuuza chips au tigo pesa/m-pesa
 
Kijana mwenzenu nimepewa hela na kaka yangu kama mtaji wa kuanzia biashara yeyote. Nina digree ya uhasibu. Akili yamgu yote nilikua nimeweka kwenye kuajiliwa tu.Nimetafuta kazi weeee...nimechoka. Sasa sitaki tena kuapply kazi..nataka nifanye biashara. Mawazo yenu ni muhimu sana ili pesa hii isipotee. Sijui naanza na biashara gani kwa hela hizi. Nataman zizae na biashara ieleweke. Sitak kabisa badae blaza aanze kuchonga....siunaona..yule mzembe sana...hajiwez kwa lolote..nimepoteza pesa zangu...

hiyo pesa nenda bar kazichome yahaya(buku 10)moja baada ya nyingine,zikiisha utajua jinsi ya kutafuta pesa na fursa utaziona
 
Nunua bajaji moja jifunze kuendesha au mkabidhi mtu hesabu take kwa siku ni 15,000! Ukipigia kwa week ni 105,000 kwa mwezi ni 420,000 toa 80,000 ya service, 320,000 ni hela inayolipa kimtindo huku unaendelea kutafuta kazi kaka!
 
Ila wewe jamaa nadhani unacheza na akili za watu. Umeoa wakati huna kazi maana mkeo alikuwa anakuzingua mpaka ukaamua kuwa malaya na kurudi usiku wa manane home?

Yote kwa yote sumu ya biashara ni starehe, starehe ujue ni nyumba ya umaskini.
Ha ha ha haa !! Mkuu Mzee wa rula, umenifanya nisome mara mbili mbili labda kuna maandishi siyaoni kwenye thread!! Humtendei haki mleta hoja. Au mnafahamiana personally? Mkuu nina kithembe unaloo!!! Kwi kwi kwiiii !!!
 
tafuta fremu sehemu iliyochangamka, nenda kilosa hapo au kyela/mbarali, nunua mchele/mpunga wa milioni 4 utakulipa...otherwise fungua m-pesa
 
Kijana mwenzenu nimepewa hela na kaka yangu kama mtaji wa kuanzia biashara yeyote. Nina digree ya uhasibu. Akili yamgu yote nilikua nimeweka kwenye kuajiliwa tu.Nimetafuta kazi weeee...nimechoka. Sasa sitaki tena kuapply kazi..nataka nifanye biashara. Mawazo yenu ni muhimu sana ili pesa hii isipotee. Sijui naanza na biashara gani kwa hela hizi. Nataman zizae na biashara ieleweke. Sitak kabisa badae blaza aanze kuchonga....siunaona..yule mzembe sana...hajiwez kwa lolote..nimepoteza pesa zangu...

tumia elimu yako iyo ya uhasibu kutengeneza fursa, mil 6 mbona nyingi tu!
 
Ha ha ha haa !! Mkuu Mzee wa rula, umenifanya nisome mara mbili mbili labda kuna maandishi siyaoni kwenye thread!! Humtendei haki mleta hoja. Au mnafahamiana personally? Mkuu nina kithembe unaloo!!! Kwi kwi kwiiii !!!

Mkuu wala simjui ila thread zake mwenyewe anazozileta zinajichanganya sana. Hebu fuatilia tread alizoanzisha ujiuonee jinsi anavyojichanganya.
 
Kwa mujibu wa thread zako sioni kma unahitaji ushauri, ni kama kawaida yako kupost chochote ili watu wachangie. Jifunze kwanza kutumia fursa ya JF kwa manufaa ndipo utaweza kumudu hzo mil 6
 
Biashara au kujiajiri ni spritual thing! come up with your ideas ili tuone kama unaweza kujiajiri kwani ninaweza nkakwambia ufanye biashara ya kuku wa mayai but kwako inaweza ikawa ngumu kwako, mimi kama mtaalamu wa agricultural economics and agribusiness nakushauri utuambie your desirable sector to work upon na biashara.
 
Back
Top Bottom