Nina shauku ya kukutana na mwanaJF mwenzangu

Wakuu.

Sijawahi kukutana na mwanaJF mwenzangu yeyote yule toka nimejiunga hapa.

Najisikiaga vibaya sana tunatumia fake IDs. Why ? Kwanini wakuu ?

Mwenzangu uliwahi kukutana na mwanaJF yeyote jamani ?
Rafiki wewe hivi punde tayari umetumia I'd sio halisi kwa nini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…