Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizo ni dawa za malaria, nafikiri wanao husika wanaelewaALU ndiyo nini mkuu.
Amesha sema za watu wazima (walioko kwenye hiyo fani wamesha muelewa). Mkuu, umeshindwa kabisa kupata kwenye community pharmacy zilizo karibu
. Kabla mtu hajakupigia, ungesema Alu ya mg ngapi - 120/20 au 480/80
Wapi nimeandika dawa za mtoto hapo?? 🤔🤔.. Acha kukurupukaAmesha sema za watu wazima (walioko kwenye hiyo fani wamesha muelewa)
kama unahitaji maelezo zaidi ungewasiliana naye moja kwa moja