Nina shida na ALU kwa bei ya jumla

MEGATRONE

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
1,140
Reaction score
2,141
Nahitaji ALU za watu wazima kwa bei ya jumla! Mwenye nazo tuwasiliane 0687391885
 
. Mkuu, umeshindwa kabisa kupata kwenye community pharmacy zilizo karibu

. Kabla mtu hajakupigia, ungesema Alu ya mg ngapi - 120/20 au 480/80
Amesha sema za watu wazima (walioko kwenye hiyo fani wamesha muelewa)
kama unahitaji maelezo zaidi ungewasiliana naye moja kwa moja
 
Amesha sema za watu wazima (walioko kwenye hiyo fani wamesha muelewa)
kama unahitaji maelezo zaidi ungewasiliana naye moja kwa moja
Wapi nimeandika dawa za mtoto hapo?? 🤔🤔.. Acha kukurupuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…