Hawa jamaa ndio wanasababisha ban zinikumbe kila mudaDaah nilijua upo serious ila nilivyokutana na hilo neno sijui jomon sijui jaman kumbe unatania
Halaf usikute ni mbabu na mamvi yake anaandika hivyoHawa jamaa ndio wanasababisha ban zinikumbe kila muda
Cha msingi ni kuiombea JF maana inavamiwa na hao jamaa ambao hawaeleweki jinsia zaoHalaf usikute ni mbabu na mamvi yake anaandika hivyo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] daah nimecheka hadi nimeachiaWe rudi ulikotoka,
Usituletee laana kwenye mji wetu