Nenda Katatuliwe rindaHabari members Nina shida na million 15 haraka Sana ndani ya wiki hii lakini Sina chochote Cha kuuza chenye thamani ya mil 15 Wala Sina asset ya kuweka dhamana nikakope bank au kwa mtu yoyote. Wala Sina ndugu au mtu wakumipa hiyo pesa nipeni mawazo nifanyeje ( legal or illegal) nipate hiyo pesa
Huna kitu lakini unataka mls 15. Kama kungekuwa na mtu anayejua how to make 15 mls from nothing in a week humu, Wallah asingeshare bali angekuwa anazalisha 15 mls kila week kwa mwezi 60 mls yani mara 4 ya mshahara wa mbungeHabari members Nina shida na million 15 haraka Sana ndani ya wiki hii lakini Sina chochote Cha kuuza chenye thamani ya mil 15 Wala Sina asset ya kuweka dhamana nikakope bank au kwa mtu yoyote. Wala Sina ndugu au mtu wakumipa hiyo pesa nipeni mawazo nifanyeje ( legal or illegal) nipate hiyo pesa
mkuu ingekuwa marinda yana thamani kubwa namna hii,kungekuwa hakuna mwenye nayo[emoji38][emoji38][emoji38].Nenda Katatuliwe rinda
Hata yangekuwa na thamani zaidi ya hiyo Mimi ntakufa nayomkuu ingekuwa marinda yana thamani kubwa namna hii,kungekuwa hakuna mwenye nayo[emoji38][emoji38][emoji38].
HahahhaahUnataka pesa za nini?
hahahaha dahHata yangekuwa na thamani zaidi ya hiyo Mimi ntakufa nayo
Tuwie Radhi wanaume wenzakomkuu ingekuwa marinda yana thamani kubwa namna hii,kungekuwa hakuna mwenye nayo[emoji38][emoji38][emoji38].
Huna ndugu au mtu wa kumipa hiyo pesa!Habari members Nina shida na million 15 haraka Sana ndani ya wiki hii lakini Sina chochote Cha kuuza chenye thamani ya mil 15 Wala Sina asset ya kuweka dhamana nikakope bank au kwa mtu yoyote. Wala Sina ndugu au mtu wakumipa hiyo pesa nipeni mawazo nifanyeje ( legal or illegal) nipate hiyo pesa
For real atuwie radhiTuwie Radhi wanaume wenzako
Unaumwa wewe mtaani kuna walokole miaka nenda njaa kwao ni kucha na kidoleYUPO YESU KRISTO OMBA KWAKE KILA KITU KINAWEZEKANA MTAJI IMANI YAKO TU View attachment 2851555