eastzoododoma
Member
- Jul 13, 2022
- 21
- 20
Habarini,
Nilikuwa naomba kama kuna mtumishi yoyote wa THPS humu ndani naomba tuwasiliane.
Asanteni
Nilikuwa naomba kama kuna mtumishi yoyote wa THPS humu ndani naomba tuwasiliane.
Asanteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mabumbe.com
Ni kweli mkono mtupu haulambwi!Nitumie no zako pm mimi nashindwa kukutext inakataa mkuuMimi Ni HR wa HTPS na Nitakuwa kwenye mchujo wa hii kazi 👇🏾
![]()
WHYS Community Engagement Officer (5 positions) at THPS November, 2023
Jobs in WHYS Community Engagement Officer (5 positions) at THPS November, 2023. New Jobs in Tanzania are posted here every day. Mabumbe is Tanzania number 1 job site.mabumbe.com
Njoo PM nikusaidie kupata kazi. Mkono mtupu haulambwi.
Vijana wapate kaziMimi Ni HR wa HTPS na Nitakuwa kwenye mchujo wa hii kazi 👇🏾
![]()
WHYS Community Engagement Officer (5 positions) at THPS November, 2023
Jobs in WHYS Community Engagement Officer (5 positions) at THPS November, 2023. New Jobs in Tanzania are posted here every day. Mabumbe is Tanzania number 1 job site.mabumbe.com
Njoo PM nikusaidie kupata kazi. Mkono mtupu haulambwi.
Cheki PM yako mkuu nimekutextMimi Ni HR wa HTPS na Nitakuwa kwenye mchujo wa hii kazi 👇🏾
![]()
WHYS Community Engagement Officer (5 positions) at THPS November, 2023
Jobs in WHYS Community Engagement Officer (5 positions) at THPS November, 2023. New Jobs in Tanzania are posted here every day. Mabumbe is Tanzania number 1 job site.mabumbe.com
Njoo PM nikusaidie kupata kazi. Mkono mtupu haulambwi.
Pale Kuna wachaga sana. Nalijua lile shirika ila kama una quality nzur wanakwitaKazi hizo zina konekisheni sana,wenzajo walishapigiwa simu kuanza kazi.
Naomba ni connect na mtu unayemjua mkuuPale Kuna wachaga sana. Nalijua lile shirika ila kama una quality nzur wanakwita
Ndio maana na mimi natafuta mkuu! Kama kuna mtu anamjua nicconect nae! Dau lipo kubwa kwa ajili yenu kama kuonesha shukurani zangu!Kazi hizo zina konekisheni sana,wenzajo walishapigiwa simu kuanza kazi.
Wana shida gani mkuu??Hakuna shirika la hovyo kama hilo boss. Wamejaa wahaya na Wachagga
Nina namba ya Kiongozi mmoja pale na email. Una hela ngapi mfuko wa shati?Wana shida gani mkuu??
Njoo PM tuyajengeNina namba ya Kiongozi mmoja pale na email. Una hela ngapi mfuko wa shati?
Njoo PM tuyajengeNina namba ya Kiongozi mmoja pale na email. Una hela ngapi mfuko wa shati?
OkNjoo PM tuyajenge
Unadhani wewe kupatiwa namba na email ya huyo kiongozi ndio kwamba utapata kazi? Sana sana ukimcheki utapoteza sifa ya kuajiriwa hata kama una vigezo,Njoo PM tuyajenge