Nina shida, nahitaji mkopo wa haraka haraka

Designer_3434

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2015
Posts
4,901
Reaction score
3,941
Husika na kichwa cha Habari hapo juu,

Natafuta mkopo wa haraka haraka, natafuta kiasi cha laki na nusu tu nitarejesha baada ya wiki mbili.

Tafadhali naomba kusaidiwa.

Yesu Anaponya.
 
Toa taarifa za kushota mkuu, upo mkoa gani? maana kama unautaka leo leo you are running out of time sasa hivi ni saa kumi mkuu. Upo sehemu gani.
 
Ondoa hofu mkuu we nisaidie tu, kikubwa waminifu nitakurudishia tu mkuu.

Yesu Anaponya.
 
Husika na kichwa cha Habari hapo juu,

Natafuta mkopo wa haraka haraka, natafuta kiasi cha laki na nusu tu nitarejesha baada ya wiki mbili.

Tafadhali naomba kusaidiwa.

Yesu Anaponya.
ukikopeshwa utarejesha sh ngapi? riba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…