PSL god JF-Expert Member Joined Nov 18, 2023 Posts 8,435 Reaction score 6,476 Dec 17, 2024 #101 Madame B said: Hawa sasa ndio walikuwa wanaume, sio nyie sahv....pesa hamna, mapenzi ya kweli hamna yaani kiufupi mpo mpo tu. Hebu nitumie pesa ya chai kwanza Click to expand... Tuma namba!
Madame B said: Hawa sasa ndio walikuwa wanaume, sio nyie sahv....pesa hamna, mapenzi ya kweli hamna yaani kiufupi mpo mpo tu. Hebu nitumie pesa ya chai kwanza Click to expand... Tuma namba!
Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,155 Reaction score 35,683 Dec 17, 2024 #102 PSL god said: Tuma namba! Click to expand... 🫠🫠🫠 mbona kama mtego?
tamuuuuu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2014 Posts 21,329 Reaction score 28,063 Dec 17, 2024 #103 Tangu mwezi wa 9 nimekuwa na shida sana.Nilita niombe msaada humu ila aaah nimeogopa. Ila jf ya zamani ilikuwa ni rahisi sana msaada kupata.
Tangu mwezi wa 9 nimekuwa na shida sana.Nilita niombe msaada humu ila aaah nimeogopa. Ila jf ya zamani ilikuwa ni rahisi sana msaada kupata.
PSL god JF-Expert Member Joined Nov 18, 2023 Posts 8,435 Reaction score 6,476 Dec 17, 2024 #104 Madame B said: 🫠🫠🫠 mbona kama mtego? Click to expand... Ndo uamue wewe hutaki pesaa ya bia 😊😊