MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Kufa tutakufa kikubwa kujiandaa ,Asalam aleykum wanajukwaa hiyo ni salamu kwenu.
Tafadhali nina shida na namba za simu au mawasiliano ya aina yoyote kwa wasanii wafuatao nahitaji ikiwa unazo namba zao ,naomba usisite kunisaidia maana Kuna mahali wanahitajika sana.
BONIPHACE MWAITEGE, BAHATI BUKUKU, ABY- ALPHA
Ndugu zanguni nimeaminika na serikali ya Kijiji pamoja na wanakijiji kuwa wanahitaji kuwaona hawa wasanii wakati wa mavuno wanahitaji hawa watu wawaimbie nyimbo zao wakiwa wanafurahia mavuno yao siku ya tarehe 08/08/2024 hivyo nimepewa hii kazi tafadhali nisaidieni hizi namba maana wanakijiji hawatanielewa ikiwa nitashindwa kuwaleta hawa watu.
Wenu katika ushereheshaji wa Kijiji cha mpitilu katika kata ya mnyankulu.
MENEMENE TEKERI NA PERESI
Tafadhali nina shida na namba za simu au mawasiliano ya aina yoyote kwa wasanii wafuatao nahitaji ikiwa unazo namba zao ,naomba usisite kunisaidia maana Kuna mahali wanahitajika sana.
BONIPHACE MWAITEGE, BAHATI BUKUKU, ABY- ALPHA
Ndugu zanguni nimeaminika na serikali ya Kijiji pamoja na wanakijiji kuwa wanahitaji kuwaona hawa wasanii wakati wa mavuno wanahitaji hawa watu wawaimbie nyimbo zao wakiwa wanafurahia mavuno yao siku ya tarehe 08/08/2024 hivyo nimepewa hii kazi tafadhali nisaidieni hizi namba maana wanakijiji hawatanielewa ikiwa nitashindwa kuwaleta hawa watu.
Wenu katika ushereheshaji wa Kijiji cha mpitilu katika kata ya mnyankulu.
MENEMENE TEKERI NA PERESI