Nina Soko la Nje la White Maize, SunFlower Oil and Sesame seeds for export

Zamazamani

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2008
Posts
1,869
Reaction score
787
Wadau
Mimi nina soko la nje la white maize,sunflower oil,soy oil na sesame seeds kwa wingi .Kwa mtu mwenye uwezo wa kufanya biashara namimi on commission basis tuwasiliane kwa pm........ Only serious suppliers with reasonable prices!!!!
 
Ok.sasa nifanyeje na unahitajika uwe na tan ngap ili upeleke soko la nje?
 
Wadau
Mimi nina soko la nje la white maize,sunflower oil na sesame seeds kwa wingi .Kwa mtu mwenye uwezo wa kufanya biashara namimi on commission basis tuwasiliane kwa pm........ Only serious suppliers with reasonable prices!!!!
Choroko,mbaazi,dengu zipo pls call 0676019019
 
bila kusahau Refined soy oil na soya beans ....pia masoko ya nje yapo!
 
Hata gunia 100 ztapatikana inategemeana na uzuri wa soko.
hiyo ni kama 10tons.....yanatakiwa kwa wingi sana....lakini nitarudi kwako...naomba namba yako pia...nijulishe kuhusu bei FOB Dar es Salaam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…