Nina SSB (HGK), yaani nina principle moja. Je, napata chuo gani kozi gani kwa point hizo?

diploma only .
according to tcu ili uweze kuchaguliwa kwenda university (kuchukua degree) lazima uwe na principal mbili , here i mean E, E but with point not less than 2.5 it mean that you must add s of g.s which has 0.5 point .
pole kwa matokeo hayo jikaze ndo elimu yetu bhana but still u have a chance to move.
i fail to advice u simply bcoz i dont know ur plan.
may God ben wit ya
 

so kama una f ya gs hautaruhusiwa kusoma degree??? Hata kama una principle 3??
 

ushauri mzur sana
 
ok kwa kweli hapo msaada wangu mimi ni kwamba itabidi tu usome diploma maana ili uende kuchukua degree lazima uwe nazo mbili
 
mkuu kama una princpl 1,diploma unafaa?

Kwa SSB katika HGK Dip-Ed unachukuliwa, kwani sifa ni 1 principal pass and a subsidiary. Ukifanya vizuri dip unaweza jiunga chuo usomee shahada. Chamsingi you must be hardworking. Usikate tamaa you still have an oppertunity. Look for it.
 
Pia jaribu kuulizia vyuo vinavyotoa pre entry program unasoma mwaka 1 ukifaulu unaendelea na degree kama kawa
 
Ulikuwa unasoma au unacheza, utapataje matokeo hayo?

Ndo maana hilo kabila lenu mnatukanwa kaomba ushaur unaandika upuuz gani kama alifeli si ni yeye maswala ya kumkejel yanatoka wap shika adabu haya muombe msamaha
 
nenda diploma ya mulugo na kawambwa. Kwa chuo kikuu utaingilia chet cha diploma miaka mi3 ijayo. ila nw we kubal yaishe nenda boarding ya diploma tena ndugu yangu. Ugali and beanz usilichoke ndo maisha yetu kalipge tena diploma
 
Hofu ya nini kama hata darasa la saba wanadahiliwa chuo kikuu.
 
Ndo maana hilo kabila lenu mnatukanwa kaomba ushaur unaandika upuuz gani kama alifeli si ni yeye maswala ya kumkejel yanatoka wap shika adabu haya muombe msamaha

We madenge nn? unajua huu ni wakati wa kuambizana ukweli na sio kupeana mioyo ambayo si hai, mm namshauri hasifkirie tena swala la kwenda vasity, kwa sasa, afikilie diploma tu, ameferi mnoooo, mpaka aibu.
 

ushauri mzuri sana. Tukipata watu kumi wa namna hii nchi yetu itaendelea. Asante sana bro!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…