Nina swali naomba jibu

Nina swali naomba jibu

MadamG

Senior Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
125
Reaction score
47
Sijawai kuugua maleria kwa miaka kumi na moja sasa je kuna hatari yeyote? niksikia kuumwa uwa nakula alafu najipa moyo kuwa ni njaa pia uwa naogopa sana dawa zozote ziwe za kienyeji au za hospitali coz nikimeza uwa natapika. watu wengi wananiambia siku nikija kuumwa nitazidiwa sana ni kweli?
Nijenge mazoea ya kupima magonjwa kila baada ya muda gani?
Ugonjwa wangu mkuu uwa ni meno uwa yanameguka je nitumie dawa gani? yalikuwa yanauma zamani nimeshang'oa mawili. MSAADA PLEASE.
 
Mkuu.@Madam Kwa Maelezo yako unataka utumie Dawa wakati wewe hujawa mgonjwa?endelea kuwa muangalifu kuhusu afya yako na Mshukuru Bwana Mungu kwa kukupa Afya njema kunywa sana Maji ya

Uvuguvugu kila siku asubuhi unapo amka kunywa glasi 2 kabla ya kupiga mswaki na unapomaliza kupiga mswaki kunywa maji ya uvuguvugu glasi moja kaa baada ya saa moja waweza kula chakula fanya hivyo kila siku


Asubuhi unapo amka na Mchana waweza kunywa glasi moja na Usiku glasi1 kabla ya kula Chakula utakuwa na Afya nzuri uwe unakwenda kupima Afya yako kila baada ya miezi 6 achana na kula vyakula vya kutia unene vyakula vyenye Mafuta Mengi pendelea kufanya Mazoezi ya Mwili utakuwa na Afya bora ni hivyo.
 
Mkuu.@Madam Kwa Maelezo yako unataka utumie Dawa wakati wewe hujawa mgonjwa?endelea kuwa muangalifu kuhusu afya yako na Mshukuru Bwana Mungu kwa kukupa Afya njema kunywa sana Maji ya

Uvuguvugu kila siku asubuhi unapo amka kunywa glasi 2 kabla ya kupiga mswaki na unapomaliza kupiga mswaki kunywa maji ya uvuguvugu glasi moja kaa baada ya saa moja waweza kula chakula fanya hivyo kila siku


Asubuhi unapo amka na Mchana waweza kunywa glasi moja na Usiku glasi1 kabla ya kula Chakula utakuwa na Afya nzuri uwe unakwenda kupima Afya yako kila baada ya miezi 6 achana na kula vyakula vya kutia unene vyakula vyenye Mafuta Mengi pendelea kufanya Mazoezi ya Mwili utakuwa na Afya bora ni hivyo.

Asante mkuu ntafanya hivyo.
 
Back
Top Bottom