Kwa mfano uko zako barabarani unenda home ukakutana na mtu anauza CD za xxx ukachukua nakala moja kufika nyumbani unaweka uitazame unakuta ni mahubiri.
Pole sana siku nyingine uwe unaomba kuzipreview kabla hujaondoka nayo, hayo mahubiri najua hata hukuyasikiliza wala kuyaangalia zaidi ya kujifyonza na kuzima tv