Kwanini baadhi ya washenzi huwa wanawapa tabu sana watu hapa uae wakati wa kuleta wake za0? Jee ?na kunaninihii kitandani pia huomba misaada?watu hao hao mara nyumba mara kitanda mara frigi mara kazi halafu yote yakikamilika hapokei tena simu za watu .je hawa wanafaa katika jamii?
samahani kidogo mkuu....nahisi sijakuelewa?
Kwanini baadhi ya washenzi huwa wanawapa tabu sana watu hapa uae wakati wa kuleta wake za0? Jee ?na kunaninihii kitandani pia huomba misaada?watu hao hao mara nyumba mara kitanda mara frigi mara kazi halafu yote yakikamilika hapokei tena simu za watu .je hawa wanafaa katika jamii?
Mkuu wewe ni M-bajuni nini, maana kiswahili ulichotumia chanikumbusha mbali sana.mi wala sihisi, sijaelewa kabisa