Nina tatizo juu ya hili

Nina tatizo juu ya hili

Wakuchanja

Member
Joined
Oct 12, 2017
Posts
82
Reaction score
54
Habarini wana JF natumaini wazima,

Kuna kitu kinanitatiza kidogo uhusiano wa mtu kuumia(kubanwa na kitu ama kusababisha maumivu makali mwilil) na kutoa sauti( mlio) unakujaje hapo.

Msaada please
 
nafkiri ni ishara ya kuomba msaada wa haraka
 
Habarin wana jf natumaini wazima, kuna kitu kina nitatiza kidogo
Uhusiano wa mtu kuumia(kubanwa na kitu ama kusababisha maumivu makali mwilil) na kutoa sauti( mlio) unakujaje hapo
Msaada plz
Kwa sababu sehemu husika iliyobanwa huleta maumivu makali ndio maana watu hutoa ukelele fulani hivi...Mambo ya hisia ndio yalivyo mkuu
 
Back
Top Bottom