Nina tatizo la kiuno nisaidieni nitumie dawa gani

silver25

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
743
Reaction score
44
Habari zenu wana Jamii Doctor

Nimekuwa nikisumbuliwa na Tatizo la kiuno kuuma kama nimeteguka hivi, iwapo nimeinama muda mrefu, ama nimeinuka kwa ghafla.

muda mwingine nikilala chali basi kinashtuka na kuanza kuuma, Sehemu inayo uma ni kwenye maungio ya mfupa wa kiuno na Spinal code, nisaidieni nitumie Dawa gani ili nipate kupona tatizo langu jamani
 
dah! Nilifikiri niko peke yangu
pole sana mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…