pambe samanini
JF-Expert Member
- Oct 27, 2015
- 368
- 169
Kwa muda sasa nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kufika kileleni mapema wakati wa tendo la ndoa kwani dakika moja au mbili tu inanichukua kufyatua manii hali ambayo inaninyima raha na kuchukiwa na mwenzi wangu naomba msaada wenu kwa suala hili