pambe samanini
JF-Expert Member
- Oct 27, 2015
- 368
- 169
Atakuwa wa kiume Mkuu, amesema anafyatua manii ( manii ni za wanaume)wa kiume wa kike?
acha pombeKwa muda sasa nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kufika kileleni mapema wakati wa tendo la ndoa kwani dakika moja au mbili tu inanichukua kufyatua manii hali ambayo inaninyima raha na kuchukiwa na mwenzi wangu. Naomba msaada wenu kwa suala hili
Je unafanya au ulishawahi kufanya haya?Kwa muda sasa nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la kufika kileleni mapema wakati wa tendo la ndoa kwani dakika moja au mbili tu inanichukua kufyatua manii hali ambayo inaninyima raha na kuchukiwa na mwenzi wangu. Naomba msaada wenu kwa suala hili
mhhhDKK 40
Hivi vitunguu swaum navifanyaje ili vitumikeAcha nyero, kunywa maji ya kutosha. Ukiweza piga asali mbichi+ vitunguu swaumu+ maji ya moto. Kila siku kwa wiki mbili.
Tengeneza juice then changanya na hizo mambo.Hivi vitunguu swaum navifanyaje ili vitumike