Nina tatizo la kulia lia bila sababu ya msingi

Mi kuna wimbo unaitwa,"safari sio kifo mama iye yee,subiri nitarudi mama watoto"
nikiusikia napatwa simanzi kwelikweli nikipiga picha akilini namwaga mama watoto wangu,,,

ha ha ha,daamn,wakati hata huyo mama watoto sina.


Something something phisoligically i think
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…