Ok kapime damu kwanzaasante mkuu, hapana sijapima
nitazingatia
Na baada ya kupima damu upime na mapigo ya moyo nadhani kwenye mfumo wa upumuaji wa kushuka kuna shidaOk kapime damu kwanza
halafu mbona hujanikwot, nisingejua eti.....asante kwa ushauri mpenzi
aya baemepita babe
Tupatie elimu kuhusu hili for all possible cases kuna wengi tutajifunza mengiPole sana mkuu vipi uliwahi kupima damu ukajua wingi wake ukoje?