Nina tatizo la kuwa na umeme mwilini (Static electricity)

Nina tatizo la kuwa na umeme mwilini (Static electricity)

ndiuka

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2009
Posts
644
Reaction score
740
Katika siku za hivi karibuni nimekuwa na tatizo la kupigwa shoti ya umeme naposhika milango ya aluminium au mageti.

Hii hutokea ninapokua nimekaa kisha kuinuka either nifungue mlango wa ofisi wa aluminium basi huwa napigwa shot au ninaposhuka kwenye gari nifungue geti nyumbani basi pia nikigusa geti napigwa shoti.

Je, tatizo ni nini? Nimetafakari sijapata majibu
 
Katika siku za hivi karibuni nimekuwa na tatizo la kupigwa shoti ya umeme naposhika milango ya aluminium au mageti.

Hii hutokea ninapokua nimekaa kisha kuinuka either nifungue mlango wa ofisi wa aluminium basi huwa napigwa shot au ninaposhuka kwenye gari nifungue geti nyumbani basi pia nikigusa geti napigwa shoti.

Je, tatizo ni nini? Nimetafakari sijapata majibu

nyumba unayokaa kuna static charges nyingi ambazo zinaingia mwilini mwako.

kwa nini!
inatokana na vifaa kufuja au kusambaa lakini hazina hatari ila ndio chanzo mama cha umeme na radi.

embu jaribu kuangalia au kupata kifaa cha kupima
IMG_0975.jpg


kuna siku utakuja kupigwa na radi.

jaribu kuangalia ili kuweza kutatua
 
nyumba unayokaa kuna static charges nyingi ambazo zinaingia mwilini mwako.

kwa nini!
inatokana na vifaa kufuja au kusambaa lakini hazina hatari ila ndio chanzo mama cha umeme na radi.

embu jaribu kuangalia au kupata kifaa cha kupima
View attachment 1958536

kuna siku utakuja kupigwa na radi.

jaribu kuangalia ili kuweza kutatua
Umeshauri vizuri
 
nyumba unayokaa kuna static charges nyingi ambazo zinaingia mwilini mwako.

kwa nini!
inatokana na vifaa kufuja au kusambaa lakini hazina hatari ila ndio chanzo mama cha umeme na radi.

embu jaribu kuangalia au kupata kifaa cha kupima
View attachment 1958536

kuna siku utakuja kupigwa na radi.

jaribu kuangalia ili kuweza kutatua
Static charge zinatokea wapi? Na pia husababishwa na nini kuongezeka kwa Static charges, na hicho kifaa unapimia wapi
 
Static charge zinatokea wapi? Na pia husababishwa na nini kuongezeka kwa Static charges, na hicho kifaa unapimia wapi

maana ya static charge
ni umeme asili ambao hupo au umeme msingi duniani kote.
kila asili yake hipo kwenye atom.kila unacho kiona na usicho kiona kina umeme asili ndio maana unaweza kushangaa mfano gesi aina chanya kuunganika na gesi chanya nyengine ni ngumu.

mfano H20 =2H+ * O-
hizi zote zina asili ya umeme.

na vitu vingi vyote yani tuseme dunia ina umeme asili ambao ujachokozwa.

ndio maana tunapochokoza kutumia vifaa kama dynamo au solar na kemikali kama zilizo kwenye betry au chochote lazima zifanye kazi kupata electric energy.

nguvu ya static charge inatabia ya kubalance sehemu ambazo hakutoshelezi.

ndio maana unaona ngurumo za radi! au radi kabisa.

ukiona hivo ujue kuna sehemu panaitaji au kuna static za kutosha ili kubalance.

ndio maana hata nyumba na vifaa tunavotumia kwa nini tuna tumia kifaa kinaitwa earth wire.

hii inasaidia lolote kama kiwango kikiwa kikubwa kupunguza kwenda ardhini.

sio short jamani !

mnaweza kuniuliza
 
maana ya static charge
ni umeme asili ambao hupo au umeme msingi duniani kote.
kila asili yake hipo kwenye atom.kila unacho kiona na usicho kiona kina umeme asili ndio maana unaweza kushangaa mfano gesi aina chanya kuunganika na gesi chanya nyengine ni ngumu.

mfano H20 =2H+ * O-
hizi zote zina asili ya umeme.

na vitu vingi vyote yani tuseme dunia ina umeme asili ambao ujachokozwa.

ndio maana tunapochokoza kutumia vifaa kama dynamo au solar na kemikali kama zilizo kwenye betry au chochote lazima zifanye kazi kupata electric energy.

nguvu ya static charge inatabia ya kubalance sehemu ambazo hakutoshelezi.

ndio maana unaona ngurumo za radi! au radi kabisa.

ukiona hivo ujue kuna sehemu panaitaji au kuna static za kutosha ili kubalance.

ndio maana hata nyumba na vifaa tunavotumia kwa nini tuna tumia kifaa kinaitwa earth wire.

hii inasaidia lolote kama kiwango kikiwa kikubwa kupunguza kwenda ardhini.

sio short jamani !

mnaweza kuniuliza
Maelezo mazuri, lakini sasa tuangalie kwenye swali hili je zinakuaje nyingi eneo fulani mpkaa hata mtu zinamzidia, je ni nyumba kutofanyiwa wiring bora au kuwa na Erath wire dhaifu yani nini chanzo kuwepo kwa kuongezeka zaidi
 
Maelezo mazuri, lakini sasa tuangalie kwenye swali hili je zinakuaje nyingi eneo fulani mpkaa hata mtu zinamzidia, je ni nyumba kutofanyiwa wiring bora au kuwa na Erath wire dhaifu yani nini chanzo kuwepo kwa kuongezeka zaidi

kuna kitu kinaitwa mass electric charge.hii kitu kinafanya kubalance ili usije kuleta tatizo la energy yoyote mfano radi ,moto na tetemeko plate
 
Ata mimi babaa hunitokea iyo hali, siyo tu aruminiaum ata kitanda cha chuma/bomba na mirango ya gari.
 
kuna mmoja hapa anasema eti '' sasa tutajuaje kama una gari kama usipo limention kwenye tangazo lako"[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

tutajuaje kama una job na home kwako ni tinted ya aluminum[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....wabongo banaa ni wivu tuu
..ndio yale yale ya watu wa fecibuku et nimenunua friji mtaan wakati naliingiza ndan watu hawakuwepo, je nfanyeje walione?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata Mimi hunitokea hii hali. Nikiamka usiku kitanda changu hunipiga shoti sakafu nikikanyaga hunipiga shoti na mwanga mda mwingine hutokea nikishika dirisha nifunge napigwa shoti vitu vingi nikivishika napigwa shoti wajuzi wa haya mambo tusaidiane kuitatua hii changamoto. Nawasilisha
 
Back
Top Bottom