Tafadhali naomba msaada kwa yeyote anayemjua Daktari mzuri anayeweza kutibu matatizo ya msuli kuvimba, kuna ndugu yangu anatatizo la kuvimba msuli wa paja kwa nyuma umevimba na una muuma sana , tumejaribu tiba hazina msaada na vidonge amekunywa sana havijamsaidia kabisa tatizo lipo palepale.