Nina tatizo la uume kusimama mara kwa mara?

Tafuta mtoto mzuri ka.mto.mbe usiku kucha.
Mimi nina tatizo kama lako ila kuna mtoto mzuri wa kingoni amesema kesho atakuja.
 
Naombeni msaada wana JF huwa nadindisha sana.hata nikiwa kazini.najitahidi kuwa busy lkn.unakuta ngoma inasimama dede.ili tatizo dawa yake nn??
Umri wako mkuu unaweza kuwa chanzo, au huwa unaangalia sana porngraph, kama c hvyo na hauna mke basi jiandae kupata mke. Naona harufu pia ya kubaka mkuu, au unataka fusa JF? Haya kina dada kazi kwenu!
 
utafiti pitia huku umuone jamaa yako kala urojo na chapati na supu ya pweza anapata tabu!
 
Last edited by a moderator:
yani hii ni noma. ukiitwa tu unaweka mikono mfukoni
 
Naombeni msaada wana JF huwa nadindisha sana.hata nikiwa kazini.najitahidi kuwa busy lkn.unakuta ngoma inasimama dede.ili tatizo dawa yake nn??

Una mapepo! Nenda ukapate maombezi!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…