Jaman mm nna tatizo,mm bado c jaoa lakini nataka tatizo hili ata nikataka kuoa niwe tayar nimelisha lipatia ufumbuz,,,,,
tatizo lenyewe ni samahanini lakini 'endapo nitafanya mapenz bac baada ya bao la mwanzo c pati jengine 'mshkaji huwa amelala baada ya kumaliza bao la kwanza ss hasimami palepale nikapiga bao la pili, kwa hiyo mm bao langu ni la mwanzo cku zote la pili c lipati na hua cna tena hamu ya kufanya liletendo,
naomba mnisaidie kwa moyo mkunjufu jaman,,,,,,,,,,,,,