IKIRIRI
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 2,734
- 3,023
Wadau kichwa cha habari kinajieleza.
Naomba kujua wapi napata gari, faida na changamoto. Gari itakuwa mkoani
=====
Naomba kujua wapi napata gari, faida na changamoto. Gari itakuwa mkoani
=====
Hongera boss kwa mtazamo huo chanya....
Ila naomba fikiria huu msemo wa WARREN BUFFET alisema "Be fearful when others are greedy and be greedy when others are fearful" huyu ni baba wa biashara uwekezaji duniani....
Liangalie kwa jicho la tatu hilo wazo lako
tathimin lini utaanza kupata faida ya kile ulichowekeza hapo...na risk zake zipi...na je namna ipi ya kupunguza hizo risk.?
Maana risk huwezi kukwepa kwenye biashara yoyote.... sema huwa tunazipunguza tu... kwamba hata risk ikitokea iwe kidogo...yaan himilivu.
Zaidi sana if you are opened mind enough... Njoo pm tujadili biashara ya kufanya pamoja...as joint Company. Uhakika wa faida ya 10% kupata kila mwezi kwa huo mtaji upo.ni mikakati na mipango tu...
Fikiria 10% faida ya mill 16 kila mwezi na mtaji wetu unabaki salama. Wewe unakuwa msimamizi Mkuu wa mahesabu ya biashara...faida kila mwezi tunagawana au itategemea na makubaliano yetu.
Sheria na taratibu zote zitafatwe kufikia makubaliano ya pamoja ili kila mtu ajiridhishe.
Karibu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app