Hii ndo mada sasa cz inafundisha na kukuza lugha yetu adim KISWAHILI nice[emoji106]Habari wa JamiiForum.
Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto,vijana,wazazi, na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia mpendwa wako kuwa Nimekupeza
Sikuwahi kulisikia, leo ndio mara ya kwanzaHabari wa JamiiForum.
Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto,vijana,wazazi, na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia mpendwa wako kuwa Nimekupeza
Hii ndo mada sasa cz inafundisha na kukuza lugha yetu adim KISWAHILI nice[emoji106]
Hapa napata mkanganyiko kidogo ipi ni sahihi " adim " au " adhimu " kwa anayefahamuHii ndo mada sasa cz inafundisha na kukuza lugha yetu adim KISWAHILI nice[emoji106]
Naanza na mwandishi..... Nimekupeza....Habari wa JamiiForum.
Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto,vijana,wazazi, na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia mpendwa wako kuwa Nimekupeza
NimekupezaHabari wa JamiiForum.
Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto,vijana,wazazi, na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia mpendwa wako kuwa Nimekupeza
Yote ni maneno ila neno adim lilitakiwa liandikwe adimu. Kwa kifupi maneno yote ni ya kiswahili na yana maana mbili tofauti japo watu wengi hudhani yote yana maana moja ila sivyoHapa napata mkanganyiko kidogo ipi ni sahihi " adim " au " adhimu " kwa anayefahamu
acha uongo mkuu,, NIMEKUMISS=NIMEKUKOSA
Nimekupeza LovenearHabari wa JamiiForum.
Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto,vijana,wazazi, na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka mtu hasa uwepo wake. Hata hivyo neno mbadala la kiswahili ni Kupeza hivyo basi unaweza ukwamwambia mpendwa wako kuwa Nimekupeza
Nimekufindiiiiiiiiiinimekutafutaaa) but where(lakini wapi)nimekuloss.
Naona umemalizia na NICEHii ndo mada sasa cz inafundisha na kukuza lugha yetu adim KISWAHILI nice[emoji106]