Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Hizo kanuni na Sheria mnazobishana zitaishia hapa hapa Jf na huko mtaani.
Ukijua mpira wa Simba na Yanga unaendeshwa na siasa, fitna na uchawi huwezi kupoteza mda wako kujadili undezi kama huu.
Nina uhakika hakuna kitakochofanyika dhidi ya pande hizi mbili ( Simba/Yanga )....na TFF/TPLB hamna Cha kuwafanya, maana ndio ishatokea
Mwisho wa hili, nimeandika hapo juu, tarehe itapangwa, MECHI itachezwa na nyie wazee wa kanuni MTAUJAZA uwanja wa mkapa.
Mwisho matokeo yatapatikana, tutarudi kule kule kwenye asili yetu;
1.Refa kawabeba
2..Uchawi/ulozi
3...Benchi la ufundi litimuliwe
4...Viongozi wajiuzulu nk nk
Hii ndio SIMBA na YANGA.
Ukijua mpira wa Simba na Yanga unaendeshwa na siasa, fitna na uchawi huwezi kupoteza mda wako kujadili undezi kama huu.
Nina uhakika hakuna kitakochofanyika dhidi ya pande hizi mbili ( Simba/Yanga )....na TFF/TPLB hamna Cha kuwafanya, maana ndio ishatokea
Mwisho wa hili, nimeandika hapo juu, tarehe itapangwa, MECHI itachezwa na nyie wazee wa kanuni MTAUJAZA uwanja wa mkapa.
Mwisho matokeo yatapatikana, tutarudi kule kule kwenye asili yetu;
1.Refa kawabeba
2..Uchawi/ulozi
3...Benchi la ufundi litimuliwe
4...Viongozi wajiuzulu nk nk
Hii ndio SIMBA na YANGA.