FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Habari za Mda huu watanzania wenzangu
Kwa nilivyokiona kikosi Cha tiafa stars Jana ni uhakika kuwa kocha HAPANGIWI KIKOSI na mtu kama angekuwa anangiwa kikosi Nina uhakika asilimia 100% kiungo asiyeogopa FUNDI. Na mkata umeme SOSPTER BAJANA a.k.a STRONG man asingeanza
Tungeona ujinga wa Mzee babu Himid ambae uwezo wake ni mdogo Sana au mdathiri ambae hawezi kupambana Sana
Bajana ni fighter haogopi Mtu DOUBLE PIVOT yake na MZAMIRU itatuvusha makundi AFCON
Sasa kocha umebakiza kitu kimoja Mfuatilie LUSAJO MWAIKENDA NI BEKI MZURI MNO WA KULIA
Kwanini nasema ivyo kuna Mda team haotoitaji mkabaji kama DICKSON JOB.
Naomba hili ukalitazame
Kwa nilivyokiona kikosi Cha tiafa stars Jana ni uhakika kuwa kocha HAPANGIWI KIKOSI na mtu kama angekuwa anangiwa kikosi Nina uhakika asilimia 100% kiungo asiyeogopa FUNDI. Na mkata umeme SOSPTER BAJANA a.k.a STRONG man asingeanza
Tungeona ujinga wa Mzee babu Himid ambae uwezo wake ni mdogo Sana au mdathiri ambae hawezi kupambana Sana
Bajana ni fighter haogopi Mtu DOUBLE PIVOT yake na MZAMIRU itatuvusha makundi AFCON
Sasa kocha umebakiza kitu kimoja Mfuatilie LUSAJO MWAIKENDA NI BEKI MZURI MNO WA KULIA
Kwanini nasema ivyo kuna Mda team haotoitaji mkabaji kama DICKSON JOB.
Naomba hili ukalitazame