Nimewaatonya mapema msije kusema sijawaambia, tunajua haya hutokea sana kwa hawa viumbe.
Mwaka huu umepita sio mwandishi wa habari wala chawa waliotoa malalamiko. Unaweza kudhani waamuzi walikuwa malaika msimu huu. Unaweza kusema TFF walikuwa smart kuliko chama chochote cha soka duniani.
Mtakumbuka maneno yangu.
Mwaka huu umepita sio mwandishi wa habari wala chawa waliotoa malalamiko. Unaweza kudhani waamuzi walikuwa malaika msimu huu. Unaweza kusema TFF walikuwa smart kuliko chama chochote cha soka duniani.
Mtakumbuka maneno yangu.