Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Wanajamvi naomba mnishauri sehemu ambapo ninaweza kufanya kozi ya lugha ya kingereza, ili niweze kuwa mzungumzaji mzuri, na kuboresha matamashi, uwezo wangu ni "intermediate". Nipo mkoani Dodoma!
Kama ni online naomba jina la website
Asanteni
Kama ni online naomba jina la website
Asanteni