Fundi_Mjasiriamali
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 748
- 1,340
Habarini za usiku wanajamvi?
Ni taasisi au chuo gani kwa hapa Arusha kinatoa mafunzo ya lugha ya kiingereza kuanzia cha kuongea na kuandika kwa vitendo zaidi, Na iwe inatoa mafunzo hayo kwa muda mfupi kama miezi mitatu. nimgependa kujua na bei wanazotoza pia.
Nataka kukinoa zaidi hichi kidogo nlicho nacho, ili niwe bora zaidi kuanzia kuongea na kuandika.
Nawasilisha kwa msaada wenu.
Ni taasisi au chuo gani kwa hapa Arusha kinatoa mafunzo ya lugha ya kiingereza kuanzia cha kuongea na kuandika kwa vitendo zaidi, Na iwe inatoa mafunzo hayo kwa muda mfupi kama miezi mitatu. nimgependa kujua na bei wanazotoza pia.
Nataka kukinoa zaidi hichi kidogo nlicho nacho, ili niwe bora zaidi kuanzia kuongea na kuandika.
Nawasilisha kwa msaada wenu.