Nina uhitaji wa kujifunza lugha ya kingereza

Fundi_Mjasiriamali

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2018
Posts
748
Reaction score
1,340
Habarini za usiku wanajamvi?

Ni taasisi au chuo gani kwa hapa Arusha kinatoa mafunzo ya lugha ya kiingereza kuanzia cha kuongea na kuandika kwa vitendo zaidi, Na iwe inatoa mafunzo hayo kwa muda mfupi kama miezi mitatu. nimgependa kujua na bei wanazotoza pia.

Nataka kukinoa zaidi hichi kidogo nlicho nacho, ili niwe bora zaidi kuanzia kuongea na kuandika.

Nawasilisha kwa msaada wenu.
 
Njoo ulaya utafahamu kuongea iyo lugha pamoja na kuandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…